
Wakati hatma ya Beno Kakolanya ndani ya Yanga ikiwa bado haifahamiki kutokana na kile ambacho kimekuwa kikiendelea kati yao, Yanga wakidai hawajui alipo Beno Kakolanya na Kipa huyo akiwa bado haonekani mazoezini wala kambini.
Klabu ya Yanga kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati ya mashindano na usajili Hussein Nyika imesema kuwa wao kama Yanga wanatambua kuwa bado Beno Kakolanya ni mchezaji wao
Lakini hawajui yupo wapi maana alipoondoka hakutoa taarifa na wao kama uongozi wanachosubiri ni kumuuliza alikuwa wapi kwa siku zote ambazo hakuwa kambini na kuhudhuria mazoezi.
Nyika alienda mbali kwa kusema kuwa hawawezi kumtafuta Beno Kakolanya kumuuliza yuko wapi kwasasa kwani hiyo si kazi yao bali Beno ndiye anayetakiwa atoe taarifa juu ya wapi alipo na kwanini haonekani katika programs zinazoendelea ndani ya yanga.



Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Mbelgiji Patrick Aussems amefunguka mengi kuhusiana na usajili kwenye kikosi chake cha Simba kabla ya

