
Hii Simba hakika haijapanga kufanya vizuri tu katika ligi kuu soka ya Tanzania bara bali ni katika michuano yote ambayo itakuwa ikishiriki ndani na nje ya Nchi.
Wakati kocha Mkuu wa Klabu ya Simba akiendelea kusisitiza kuwa bado hajamaliza usajili wake licha ya Kuongeza beki mmoja kumrithi Kapombe ambaye aliumia akiwa na timu ya taifa.
Kocha Aussems alisisitiza kuwa bado ataongeza mchezaji mmoja licha ya kutofunguka ni mchezaji gani wala nafasi gani anataka kuongeza.
Habari za kuaminika ambazo kwataunit.co.ke imezipata inaelezwa kuwa Simba wameingia kwenye rada za kuinasa saini ya Straika wa AS Vita ya Congo JM Makusu Mundele.
Mundele ni moja ya wachezaji tegemeo katika timu ya AS Vita ya Congo akiisaidia msimu huu kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika CAF.
Walichokisema Yanga baada ya Tetesi za Haruna Moshi kusajiliwa
Inaelezwa Kuwa Simba wameamua kufanya namna ya Kumpata Straika huyo kwani mshambuliaji wao Emmanuel Okwi inaelezwa anaweza kutimkia Afrika Kusini mwezi January katika klabu ya Kaizer Chief.
▼▼▼BOFYA PICHA HAPA CHINI KUONA VIDEO HIYO ▼▼▼
“In fact, all the leaders I met in the UAE praised us for maintaining peace, a prerequisite to achievement in development,” Dr Shein said at the press conference held at the airport in Zanzibar shortly after landing from the Arab countries. On January 21, this year the President and his delegation which included First Lady Mwanamwema Shein left the Islands for a week-long visit in countries forming UAE: Dubai, Sharjah, and Ras-al- Khaimah.
He said the reception he was accorded in each state was good, and that leaders in the Arab countries had promised to support Zanzibar move ahead in various sectors, including the search for alternative energy, oil and other natural resources, improvement of social services and infrastructure.
Dr Shein said, “… I personally learned a lot. The countries are economically well-off, but they have managed to advance because of determination and good planning, tools which we (Zanzibar) can copy from them.”
He said without good planning, even if you have money, one can fail to move forward as witnessed in some countries including in Africa where some nations have good economy, but have failed to achieve development goals.
Speaking with Journalists, the isles leader also answered questions which were not directly related to his trip. When asked to comment on ongoing views about changing presidential term limit from the current five to seven, he replied “It is not my agenda; I will respect my constitution term and leave the office to others.”
He was also asked about the temporary ban on registration of international ships after some foreign ship flying Tanzania flag were implicated in illegal business, he said “I know there are discussions going on.
It is the dishonest ships abroad are to blame for misusing our flag. I hope we will have the right to continue registering international ships.”


Post a Comment