Usajili Simba: Mashine mpya inatua kabla ya dirisha kufungwa Aussems afunguka | Global Learning

Usajili Simba: Mashine mpya inatua kabla ya dirisha kufungwa Aussems afunguka

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Mbelgiji Patrick Aussems amefunguka mengi kuhusiana na usajili kwenye kikosi chake cha Simba kabla ya
Tunahitaji mchezaji mpya na tutamsaini kabla ya dirisha dogo kufungwa Jumamosi 15 December 2018, Uongozi unakamilisha masuala yote na ndani ya saa 48 kila kitu kitakuwa sawa.
Kuhusu anatokea wapi na nafasi yake.?
Kocha Patrick Aussems ambaye amekiri kuwa akili kubwa kwasasa ipo kwenye mchezo dhidi ya Nkana Fc Jumamosi 15 December amefunguka kuwa mchezaji huyo huenda akawa kiungo, au mshambuliaji au hata nafasi nyingine


Na Kuhusu anatokea wapi hakutaka kusema alisihia kusema tu kuwa anaweza akawa wa ndani au wa Nje ya Nchi lakini kila kitu kitakaa sawa ndani ya masaa 48 yani siku 2 hizi.
” Inawezekana akawa mchezaji wa ndani au wa nje inawezekana akawa anacheza nafasi ya kiungo au msjhambuliaji wa hata nafasi nyingine lakini tutakamilisha ndani ya saa 48″
Akizungumzia kuhusu hali ya kapombe kocha Aussems msomaji wa Kwataunit.co.ke amefunguka kuwa mchezaji huyo ni muhimu sana na wanamuombea apone haraka ili aweze kukitumikia kikosi cha Simba
Kuhusu Beki Zana Coulibaly Aussems ameweka wazi kuwa kinachosubiriwa ni ITC yake na Baadhi ya vibali vya kumuwezesha kuanza kufanya kazi.
▼▼▼BOFYA PICHA HAPA CHINI KUONA VIDEO HIYO ▼▼▼
“In fact, all the leaders I met in the UAE praised us for maintaining peace, a prerequisite to achievement in development,” Dr Shein said at the press conference held at the airport in Zanzibar shortly after landing from the Arab countries. On January 21, this year the President and his delegation which included First Lady Mwanamwema Shein left the Islands for a week-long visit in countries forming UAE: Dubai, Sharjah, and Ras-al- Khaimah. He said the reception he was accorded in each state was good, and that leaders in the Arab countries had promised to support Zanzibar move ahead in various sectors, including the search for alternative energy, oil and other natural resources, improvement of social services and infrastructure. Dr Shein said, “… I personally learned a lot. The countries are economically well-off, but they have managed to advance because of determination and good planning, tools which we (Zanzibar) can copy from them.” He said without good planning, even if you have money, one can fail to move forward as witnessed in some countries including in Africa where some nations have good economy, but have failed to achieve development goals. Speaking with Journalists, the isles leader also answered questions which were not directly related to his trip. When asked to comment on ongoing views about changing presidential term limit from the current five to seven, he replied “It is not my agenda; I will respect my constitution term and leave the office to others.” He was also asked about the temporary ban on registration of international ships after some foreign ship flying Tanzania flag were implicated in illegal business, he said “I know there are discussions going on. It is the dishonest ships abroad are to blame for misusing our flag. I hope we will have the right to continue registering international ships.”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Global Learning Published.. Blogger Templates
Back To Top