Zahera ashangazwa na Jambo hili Yanga | Global Learning

Zahera ashangazwa na Jambo hili Yanga

Zahera ashangazwa na Jambo hili Yanga
KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera, amewashangaa matajiri wenye mapenzi na klabu hiyo kwa kushindwa kuisaidia timu hiyo ambayo kwa sasa imekumbwa na ukata.
Yanga ipo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kufikisha pointi 38 katika mechi 14 walizocheza, lakini taarifa ndani ya klabu hizo zinadai timu imekumbwa na ukata na kushindwa kulipa wachezaji mishahara ya miezi minne sasa.
Akizungumza nasi juzi kutokea mkoani Mbeya, Zahera alisema anashangaa timu hiyo kuishi kimasikini wakati ina wanachama ambao ni matajiri.
Kocha huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, alikwenda mbali zaidi na kusema licha ya wanachama hao kushindwa kuisaidia timu hiyo, anashangaa wanaopiga hela kwa mgongo wa timu hiyo.
“Timu haina hela hilo lipo wazi, nawashangaa matajiri wenye mapenzi na hii timu wapo wapi, wao ndio wanaweza kuisaidia timu kutoka hapa ilipo.
“Si kwamba timu haiingizi hela, hapana, kuna wajanja wachache wanaendelea kuing’ang’ania timu mikoani, wanagombania ukuu wa msafara na kupiga hela ndefu ambazo zingeweza kutusaidia kulipana mishahara,” alisema.
Zahera alisisitiza kuwa kilichomleta Yanga si fedha bali ni kufundisha soka ikiwa ndiyo kazi yake, lakini pia kuendelea kuboresha wasifu (CV) wake, akiamini lazima ataipaisha Yanga.
“Nilipotua nakumbuka niliambiwa maneno mengi sana kuwa Yanga haina fedha hivyo ningetaabika sana, lakini hilo halinisumbui mimi kwa sababu nataka kuona Yanga inafanya vizuri,” alisema.


Source : Bingwa
▼▼▼BOFYA PICHA HAPA CHINI KUONA VIDEO HIYO ▼▼▼
“In fact, all the leaders I met in the UAE praised us for maintaining peace, a prerequisite to achievement in development,” Dr Shein said at the press conference held at the airport in Zanzibar shortly after landing from the Arab countries. On January 21, this year the President and his delegation which included First Lady Mwanamwema Shein left the Islands for a week-long visit in countries forming UAE: Dubai, Sharjah, and Ras-al- Khaimah. He said the reception he was accorded in each state was good, and that leaders in the Arab countries had promised to support Zanzibar move ahead in various sectors, including the search for alternative energy, oil and other natural resources, improvement of social services and infrastructure. Dr Shein said, “… I personally learned a lot. The countries are economically well-off, but they have managed to advance because of determination and good planning, tools which we (Zanzibar) can copy from them.” He said without good planning, even if you have money, one can fail to move forward as witnessed in some countries including in Africa where some nations have good economy, but have failed to achieve development goals. Speaking with Journalists, the isles leader also answered questions which were not directly related to his trip. When asked to comment on ongoing views about changing presidential term limit from the current five to seven, he replied “It is not my agenda; I will respect my constitution term and leave the office to others.” He was also asked about the temporary ban on registration of international ships after some foreign ship flying Tanzania flag were implicated in illegal business, he said “I know there are discussions going on. It is the dishonest ships abroad are to blame for misusing our flag. I hope we will have the right to continue registering international ships.”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Global Learning Published.. Blogger Templates
Back To Top