Timu ya Yanga ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa winga wa Singida United, Tiber John katika kuimarisha kikosi chao wakati wa dirisha dogo la usajili linalokaribia kufungwa.
Usajili wa dirisha dogo ulifunguliwa Novemba 15 na utafungwa Desemba 15 mwaka huu na Yanga ipo kwenye mazungumzo ya mwisho kumsajili beki wa Lipuli, Ally Mtoni, Eliud Ambokile (Mbeya City) Vitalis Mayanga (Ndanda) Keny Ally (Singida United) na winga kutoka Congo, Reuben Bomba ambaye yupo nchini.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Yanga zimeeleza kuwa Yanga inataka kuimarisha kikosi chake kuelekea kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu.
"Wakati wowote Tiber atasaini mkataba kuchezea timu ya Yanga katika usajili wa dirisha dogo ni baada ya viongozi kuanza kufanya naye mazungumzo kilichokuwa kinachelewesha ni mechi dhidi ya Prisons viongozi walikuwa kwenye maandalizi na kusababisha kusitisha baadhi ya vitu likiwemo usajili," kilieleza.
Mwenyekiti wa kamati ya usajili wa Yanga, Hussen Nyika alisema kuwa muda ukifika kila kitu kitakuwa sawa kuhusu usajili wa Yanga.
"Wiki hii ndio tunaanza usajili rasmi wa wachezaji wapya katika dirisha dogo, hivyo ni vigumu kumtaja moja kwa moja Tiber, tusubiri muda ukifika tutaweka wazi," alisema.
▼▼▼BOFYA PICHA HAPA CHINI KUONA VIDEO HIYO ▼▼▼
“In fact, all the leaders I met in the UAE praised us for maintaining peace, a prerequisite to achievement in development,” Dr Shein said at the press conference held at the airport in Zanzibar shortly after landing from the Arab countries. On January 21, this year the President and his delegation which included First Lady Mwanamwema Shein left the Islands for a week-long visit in countries forming UAE: Dubai, Sharjah, and Ras-al- Khaimah.
He said the reception he was accorded in each state was good, and that leaders in the Arab countries had promised to support Zanzibar move ahead in various sectors, including the search for alternative energy, oil and other natural resources, improvement of social services and infrastructure.
Dr Shein said, “… I personally learned a lot. The countries are economically well-off, but they have managed to advance because of determination and good planning, tools which we (Zanzibar) can copy from them.”
He said without good planning, even if you have money, one can fail to move forward as witnessed in some countries including in Africa where some nations have good economy, but have failed to achieve development goals.
Speaking with Journalists, the isles leader also answered questions which were not directly related to his trip. When asked to comment on ongoing views about changing presidential term limit from the current five to seven, he replied “It is not my agenda; I will respect my constitution term and leave the office to others.”
He was also asked about the temporary ban on registration of international ships after some foreign ship flying Tanzania flag were implicated in illegal business, he said “I know there are discussions going on.
It is the dishonest ships abroad are to blame for misusing our flag. I hope we will have the right to continue registering international ships.”



Post a Comment